Msanii wa filamu nchini bwana chiki aliuaga ukapela baada ya kupata jiko siku ya jumamosi ya tarehe 11/12/2010.. Harusi hiyo iliyofana ilifanyika katika ukumbi wa msasani beach club iliudhuliwa na wasanii mbalimbali wa tasnia ya filamu nchini. akiwemo mzee kipara. Blog hii ya Tollywood today inawatakia maisha marefu na yenye furaha Chiki na Mkewe
chiki na mkewe wakikamata maaku;i

Kanumba akimpongeza chiki
No comments:
Post a Comment