Monday, December 13, 2010

Bado waandika script washindwa kukutana

Chama cha waandika story na script za Filamu nchini TASA wameshindwa kufanya kikao chao ambacho kilikuwa kifanyike terehe 2/12/2010. na kuahirishwa hakijapata kufanyika na wala haijapangwa ni lini kitafanyika.

No comments:

Post a Comment